Na Musa Njoghomi Sehemu ya Kwanza. Ikweta(Equator) ni mstari unaoigawa dunia katikati na kutoa pande kuu mbili zinazolingana, ambazo ni ukanda wa kaskazini na ukanda wa kusini(Northern & Southern hemisphere) Kijiografia maeneo ya ukanda wa *Ikweta* ndio maeneo pekee yenye sifa za mvua nyingi,ardhi yenye rutuba & misitu mikubwa na ya kijani( Evergreen forest) hii ni kwasababu ya hali ya hewa inayopatikana katika ukanda huu( high temperature) with high evaporations. Kwetu sisi Tanzania mstari wa Ikweta umepita jirani yetu hapo nchini Kenya, hivyo tulipaswa kuwa na misitu mingi sana mithili ya Congo Forest. Nchi zilizopo Northern Pollar & Souther pollar haziwezi kuwa na miti mingi kwasababu ya nature ya hali ya hewa. Nchi za pollar regions huona jua kwa nadra sana sio sawa na sisi. hivyo wao kuwa misitu mingi kama sisi ni changamoto. Pia wanachangamoto za barafu eg, nchi kama Iceland,Newzealand etc Sisi tuliopo Ikweta/ Karibu na Ikweta ndio tunapaswa kuwa na wajibu wakukabili ...
Rehema Sombi Omary Mgombea UBUNGE VITI MAALUMU UVCCM kutoka Mkoa wa Singida. *WASIFU BINAFSI* *JINA KAMILI*: REHEMA SOMBI OMARY Jinsia:Ke Uraia :Mtanzania Kuzaliwa:07,March 1994 Lugha:Swahili,Kiingereza Anuani:S.L.P 809, Singida,Tanzania Barua Pepe : omaryrehema31@gmail.com *ELIMU* - Shahada ya Sayansi katika Uuguzi -Chuo Kikuu cha Mtakatifu Yohana-Shahada ya Uuguzi -Bwiru Girls high School-Cheti cha Elimu ya Sekondari ya juu -Kipata Girls Islamic High School-Cheti cha Elimu ya Sekondari -Utemini Primary School-Cheti Cha Elimu ya Msingi -Ummu Salama nursery school- Cheti Cha elimu ya awali *UZOEFU KITAALUMA* -Afisa Muuguzi kitengo cha ICU/CCU hospital ya Benjamin Mkapa-Dodoma (2019-2020) -Mafunzo Tarajali katika hospital ya The Benjamin Mkapa-Dodoma (2018-2019) -Mafunzo kwa vitendo hospital ya Rufaa ya Dodoma( 2016-2017) -Mafunzo kwa vitendo hospital ya Rufaa ya Singida (2015-2016) -Mafunzo kwa vitendo kituo cha afya Makole-Dodoma (2014-2015) *UZOEFU WA UONGOZI KITAAL...
Na: Chifu Ahmed Missanga. Leo Tarehe 17/11/2021 imekuwa baraka Ihanja Wilayani Ikungi Mkoani Singida Amesimikwa rasmi Chifu Singu Missanga Senge Kuwa kiongozi wa Utemi wa UNYIKUNGU katika kabila la Wanyanturu. Hafla hii ya usimikwaji ilianza kwa Dua Maalum ilioyo ongozwa na Viongozi wa Dini Shekhe, Mchungaji na Viongozi wa Kimila ya Kknyaturu. Chifu Singu Missanga amesimikwa na Baraza la Wazee la ukoo wa Chifu Missanga Senge katika kabila la Wanyaturu na kushuhudiwa na Chifu Mkuu wa Ikungi Abraham Gwau. Akimwakilisha Jerry Muro Mkuu wa wilaya wa Ikungi, Katibu Tawala Wilaya Ndg. Dijovison Ntangeki amesisitiza Viongozi wa Kimila kuwa ndio nguzo ya Amani na uwajibikaji hivyo watumie nafasi hizo kusaidia kuelelimisha jamii kuacha Mila potofu, kuhamasisha jamii kuenzi mila na tamaduni za Tanzania. Ikiwemo uhamasishaji upendo, maridhiano, umoja na mshikamano wa taifa ikienda sambamba na kulingania tunu za taifa pamoja na upendo ili kuondoa ukiukwaji wa Hali za binadamu wenye vionjo vya ub...
Comments
Post a Comment