Posts

Showing posts from June, 2020

MTATURU ADHAMINI UJENZI WA MABANDA YA KUPUMZIKIA ABIRIA STENDI MPYA IKUNGI

Image
Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki Mhe. Miraji Mtaturu Leo tarehe 06/06/2020 amekabidhi Mabanda ya Kupumzikia Abiria na Akina Mama wajasiriamali Stendi ya Mabasi Ikungi yenye thamani ya Tsh 3,958,000/= Mabanda hayo yamezinduliwa na Mhe. Edward Mpogolo. Mkuu wa Wilaya ya Ikungi.