Posts

Showing posts from October, 2022

MTU WA WATU, KINARA WA MAENDELEO SINGIDA MASHARIKI Mh. MIRAJI JUMANNE MTATURU OCTOBER 22, 2022 AMESHIRIKI MAHAFALI YA DARASA LA SABA KATIKA SHULE YA MSINGI NG'ONGOSORO KATA YA ISSUNA JIMBO LA SINGIDA MASHARIKI WILAYA YA IKUNGI.

Image
Katika Risala ya wanafunzi shuleni hapo imeeleza mafanikio na changamoto za shule yao ikiwemo upungufu wa vyumba vya madarasa, matundu ya vyoo, nyumba za walimu, walimu na vifaa vya stationary kwa ajali ya kuandaa mtihani ikiwemo computer, printer na photocopy machine. Diwan wa kata Issuna Mh Stephano Missai alimshukuru Mbunge wa jimbo la Singida Mashariki mhe Miraji Mtaturu kwa kuwasemea matatizo waliyonayo bungeni na Serikali kuwaletea fedha za Miradi ya maendeleo kama sasa Isuuna tumeona madarasa yamejengwa Sekondari ya issuna, jengo la utawala na jengo la maabara limekamilika.  Tumepata fedha zaidi ya 70m kumalizia zahanati ya Issuna na huduma zimeanza kutolewa ambapo ilikuwa kero ya muda mrefu sana wananchi kufuata huduma za afya  kijiji cha Nkuhi au Ikungi kilomita zaidi ya 35. Pia mtendaji wa kijiji cha Ng'ongosoro amemshukuru Mbunge kwa kuwaletea 4m kusaidia ujenzi unaendelea wa madarasa mawili kwa sasa wamenunua mifuko 150 ya saruji wameanza kufyatua matofali waanze ujenzi

MAGAZETINI: MAGAZETI YA LEO IJUMAA OCTOBER 14, 2022 MAGAZETI YA LEO IJUMAA OCTOBER 14, 2022

Image
MAGAZETINI leo October 14, 2022 #bazotvonline @bazotvnews

MAGAZETINI: MAGAZETI YA LEO IJUMAA OCTOBER 14, 2022 MAGAZETI YA LEO IJUMAA OCTOBER 14, 2022

Image
MAGAZETINI leo October 14, 2022 #bazotvonline @bazotvnews

MAKALA YA WIKI LA VIJANA MKOANI KAGERA PAMOJA NA KILELE CHA KUZIMA MWENGE WA UHURU MWAKA 2022

Image
Na Simon Sirilo: Kwa kushirikiana na Shirika la Restless Development  linalofanya kazi na Vijana tumeshiriki katika maadhimisho ya wiki la vijana na kuweza kubadilishana mawazo na vijana wengi wa Kitanzania mkoani kagera kwa kuwajengea uwezo katika mambo kadhaa ikiwemo namna ya kujiajiri,Afya na makuzi pia. Kupitia mambo mtambuka yanayowahusu kujenga uchumi wa vijana nilifanikiwa kuwa moja ya wanajopo walioendesha mdahalo uliojikita katika kuzungumzia hatma ya uchumi wa vijana kupitia mafaniko,changamoto na mapendekezo kwa serikali. Binafsi,nilitoa mawazo yangu kama ifuatavyo 1:Vijana kuwa na uthubutu na kuanzisha mambo/miradi japo kwa kidogo ili kuweza kuiaminisha serikali kuwa vijana tunao uwezo,maarifa,nguvu na ari ya kufanya kazi...hapa ndipo serikali itawashika mikono kupitia zile fedha asilimia 4 za vijana kutoka halmashauri. Uthubutu huleta kuaminika zaidi kuliko maneno matupu,kijana mwenye uthubutu huaminika zaidi kuliko asiyeanza kabisa. 2: Vijana tujitahidi kutafsiri  fursa z