Posts

Showing posts from April, 2022

MAADHIMISHO YA MIAKA 58 YA MUUNGANO YAFANA MKOANI SINGIDA

Image
Na Bazil Mjungu _ Ikungi Singida Mkuu wilaya ya Ikungi Mhe. Jerry Muro ameongoza maadhimisho ya Miaka 58 ya Muungano wa Tanganyika na zanzibar kwa kufungua kongamano la vijana mkoa wa Singida kwa niaba ya Mkuu wa mkoa wa Singida Dkt. Binilith S. Mahenge Kongamano hilo limefanyika katika ukumbi wa mikutano ya chuo cha uhasibu singida ambapo mada mbalimbali zimejadiliwa ikiwemo umuhimu wa kudumisha muungano, fursa za uchumi katika mkoa wa singida na ushiriki wa vijana katika sensa ya watu na makazi Akizungumza katika kongamano hilo Dc Muro amesema Tanzania Bara haiwezi kuwa salama kama Tanzania zanzibar haitakuwa salama kiulinzi, kiuchumi na kijamii Amesema wakati dunia ikiungana katika muktadha mbalimbali ni vizuri kwa Tanzania kudumisha muungano wao ili kutoa nguvu ya kuleta maendeleo kwa jamii za pande zote mbili Akihitimisha hotuba yake amewataka vijana kushirikiana kikamilifu na viongozi wa serikali katika kuhakikisha jamii inashiriki katika zoezi la sensa ya watu na makazi inayotar

MSAADA UNAHITAJIKA KUMALIZIA MSIKITI: BAJETI YA KUMALIZIA MSIKITI UNYANGWE.

Image
Kushoto mwa MSIKITI. Kulia mwa Msikiti. Mbele ya Msikiti. 1. Nondo za Nguzo za Katikati 100 = 19,000 X 100 = 1,900,000/= 2. Mbao za Kenchi 164 X = 11,000 X 164 = 1,804,000/= 3. Mbao za kupaulia 189 = 7000 X 189 = 1,323,000/= 4. Mbao za Fisha bord 30 = 25000 X 30 = 900,000/= 5. Mabati 276 = 26,000 X 276 = 7,176,000/= 6. Misumari ya bati kilo 50 = 6000 X 50 = 300,000/= 7. Misumari ya mbao kilo 50 = 6000 X 50 = 300,000/= 8. Madirisha 10. Aluminium = 450,000 X 10 = 4500,000/= UFUNDI 1,800,000/= Jumla Milioni 19,983000 Bazl Rajabu Mjungu.